Sunday, June 9, 2013

HII NDIO LIST KAMILI YA WASHINDI WA KILLI MUSIC AWARD 2013



Wimbo bora wa mwaka
Dear God – Kala Jeremiah

 Msanii bora wa Kiume
Diamond

Msanii bora wa kike
 Lady Jaydee

Msanii bora wa kike Taarab
 Isha Mashauzi

Msanii bora wa kiume Taarab
 Mzee Yusuf

Msanii bora wa kiume Bongo Flava
 Diamond

 Msanii bora wa kike Bongo Flava
 Recho

Msanii bora wa Hip Hop
 Kala Jeremiah

Msanii bora wa kiume Bendi
 Chalz Baba

Msanii bora wa kike Bendi
 Luiza Mbutu

Msanii bora anayechipukia
 Ally Nipishe

Video bora ya mwaka
 Baadaye – Ommy Dimpoz

Mtunzi bora wa mashairi Taarab
 Mzee Yusuf

Mtunzi bora wa mashairi Bongo Flava
 Ben Pol

 Mtunzi bora wa mashairi hip hop
 Kala Jeremiah

Mtunzi bora wa mashairi Bendi
 Chalz Baba

Mtayarishaji bora wa mashairi muziki wa kizazi kipya
 Man Walter

Mtayarishaji wa wimbo wa mwaka – Taarab
 Enrico

Mtayarishaji wa wimbo mwaka – Bendi
 Amoroso

Mtayarishaji chipukizi wa mwaka
 Mesen Selekta

Rapper bora wa bendi
 Fagasoni

Wimbo bora wenye vionjo vya asili
 Chocheeni Kuni – Mrisho Mpoto ft Ditto

Wimbo bora wa bendi
 Risasi Kidole – Mashujaa Band

Wimbo bora wa Reggae
 Kilimanjaro – Warriors from The East

Wimbo bora wa Afrika Mashariki
 Valu Valu – Jose Chameleone

Wimbo bora wa Bongo Pop
 Me an You – Ommy Dimpoz ft Vanessa Mdee

Wimbo bora wa kushirikiana/Kushirikishwa
 Me and You – Ommy Dimpoz ft Vanessa Mdee

Wimbo bora wa Hip Hop
 Nasema Nao – Nay wa Mitego

Wimbo bora wa rnb
 Kuwa na Subira – Rama Dee ft. Mapacha

Wimbo bora wa ragga/ dancehall
 Predator – Dabo

 Wimbo bora wa Taarab
 Mjini Chuo Kikuu – Khadija Kopa

Wimbo bora wa zouk rhumba
 Ni wewe – Amini

Bendi bora ya mwaka
 Mashujaa Band

 Kikundi bora cha Taarab
 Jahazi Modern Taarab

Kikundi bora cha muziki wa Kizazi kipya
 Jambo Squad

Hall of Fame – Institution
 Kilimanjaro Band wana Njenje

Hall of Fame – Individual
 Salum Abdallah

No comments:

Post a Comment