Saturday, June 15, 2013

OMMY DIMPOZ AOMBA MSAMAHA, soma alichosema hapa!!

HIKI NDICHO ALICHO ANDIKA OMMY DIMPOZ KUPITIA ACCOUNT YAKE YA FACEBOOK

Samahani tena sana na sitawacha kuomba msamaha,nimekubali makosa na hivi sasa naelekea nyumbani kwao kuomba msamaha kwa familia na nitue kwa vituo vya radio kuomba msamaha kwa wabongo na wote niliowaudhi.samahani sana na nakubali mimi si mtu bila nyinyi na sikuongea kuhusu legend Ngweir kwa ila mbaya.One Love.

No comments:

Post a Comment