Friday, July 12, 2013

DIVA KUFANYA COLLABO NA PREZO



 Diva akiwa studio
Diva akiwa na prezo

Diva ambaye ni mtangazaji wa clouds fm, ambaye pia inasemekana anamahusiano na jamaa kutoka kenya maarufu kama prezo, juzi kati wameingia studio kufanya ngoma moja ambayo itakuwa single ya 3 ya mwanadashosti diva, ngoma hiyo imepewa jina la JICHO LA HUPA, inafanyika studio kwa lamar, ndani ya hiyo ngoma pia yumo sterio. Coming soon

No comments:

Post a Comment