Sunday, July 7, 2013

NANDO ANUSURIKA TENA BBA The Chase, CHEKI HAPA KUJUA WALIOTOKA...!!



Nando kwa mara nyingine amefanikiwa kubaki katika shindano la big brother, na hii ilikua mara yake ya pili kuingia katika nomination, washiriki waliotoka ni kutoka nchini Zimbabwe na Malawi picha zao hapo juu....
Kesho tutajua ni kina nai walio ingia tena kwenye nomination, endelea kufatilia bba. thanx Africa kwa kuvote for Nando.

No comments:

Post a Comment