Tuesday, July 9, 2013

WALIO INGIA KWENYE NOMINATION WIKI HII BBA The Chase: Watanzania wapo salama

Tanzania wiki hii ipo salama kwasababu hamna mshiriki alie ingia kwenye nomination,hiyo picha hapo juu ni washiriki wa BBA The chase walioingia katika nomination wiki hii, Annabel wa kenya, Selly -Ghana, Natasha Malawi, Polleko - zimbabwe, na Melvin wa Nigeria. kura yako ndio itakayo mfanya mshiriki kuendelea kuwepo kwenye shindano, piga kura mara nringi uwezavyo, unaweza kuvote online kupitia http://bigbrotherafrica.dstv.com/vote/

No comments:

Post a Comment