Thursday, June 13, 2013

BREAKING...!!!! LANGA AFARIKI DUNIA

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Langa Kileo, maarufu kama LANGA amefariki dunia leo hii baada ya kuugua maralia kali ambayo ikapelekea hali ya kupelekwa Hospital ya taifa muhimbili ambapo umauti umemkuta. Endelea kufatilia blog yetu kwa habari zaidi kuhusu kifo chake.
#RIP LANGA

No comments:

Post a Comment