Saturday, June 15, 2013

MWANA FA "THE FINEST" SHOW!!!

 Mwana FA akiperfom
 Hapa ni kabla ya kuingia ukumbin, kushoto ni LINA SANGA
 mwana fa kama zamani
Lina, Mwana Fa & Maua, 
 Dully na Mwana Fa
Baadhi wa mashabiki


hizi ni baadhi ya picha za kwenye show ya Mwana Fa "THE FINEST" amabayo ilifanyika jana 14/june/2013
Kama tunavyojua kuwa kulikua na kutokuelewana kati ya mwana fa na lady jaydee sababu ya show zao kuwa siku moja hali ambayo imepelekea watu kutaka kufahamu je nani ataibuka na washabiki wengi kwenye show yake, baada ya show zote kufanyika ukweli ni kwamba mwana fa amefunikwa na mwanadada lady jaydee kutokana na idadi kubwa ya watu walioenda kutazama show yake....

No comments:

Post a Comment