Monday, June 10, 2013

Show ya MWANA FA ni siku moja na show ya LAD JAYDEE, Ijumaa tar 14 June

Baada ya mwana fa kuhairsha show yake, THE FINEST sasa ametangaza rasmi kuwa itafanyika Tarehe 14 june, ni siku hiyo hiyo ambayo lady jaydee alitangaza kuafnya show yake ya kutimiza miaka 13 katika muziki, kutokana na hali hiyo kumeonekana kuna utata kwa mwandada lady jaydee baada ya kuanza tweet, tweet ambazo zinaonesha kutokubaliana na hali hyo na kusema kuwa ni mpango wa kumuharibia show yake.

No comments:

Post a Comment