Sunday, June 16, 2013

WAJUE WASHIRIKI WAWILI WALIOTOKA BIG BROTHER LEO!!!

 Biguesas
Neyll

Hawa wote ni washiriki kutoka nchini angola, safari yao imefikia tamati leo baada ya kutoka katika sshindano kwa kupata kura chache. Kutokana na hivyo bas ANGOLA wanabaki bila mshiriki katika nyumba hyo.
Watanzania tuwaombee wasiingie katika danger zone wiki hii na kupigiwa kura za kutoka na kama itatokea hvyo Watanzania tuwapigie kura wenzetu wazidi kutuwakilisha vyema. unaweza kuchek matukio na kupiga kura kupitia www.bigbrotherafrica.dstv.com 

No comments:

Post a Comment