Tuesday, July 2, 2013

NANDO AINGIA KWENYE NOMINATION TENA BIG BROTHER...!


Mshiriki kutoka tanzania Nando ameingia katika hatari ya kutoka wiki hii kama atapigiwa kura chache za kubaki, hii ni mara ya pili kuingia katika nomination... washiriki wengine walioingia kwenye nomination ni Angelo, Hakeem, Cleo, Poleko, Bimp na Fatima.

No comments:

Post a Comment