Tuesday, June 18, 2013

DIAMOND MBIONI KUACHIA NYIMBO MPYA!!!!

Hii ni picha ambayo tumetumia kama evidence na maneno yake amabyo ameandika baada ya kupost hii picha instagram leo, maneno hayo ni
" Na nina wivu sikatai, Maana uchugu wa mapenzi naujua... So usije nilaghai, nikaja kunasa ukanizingua"
ukisoama huo mstari utagungua kuwa ni sehemu ya wimbo mpya, bado hajaongea chochote, endelea kufatilia blog yetu kwa update zaidi.

No comments:

Post a Comment