Wednesday, June 19, 2013

DRAKE AFUNGUKA KUHUSU BIFU LAKE NA CRIS BROWN JUU YA RIHANNA

Drake amefunguka kupitia magazine la GQ la nchin marekani ambalo linatoka mwezi wa july mwaka huu, Drake ameliambia gazet hilo maneno haya hapa
“I don’t want my name to be synonymous with that guy’s name. I really don’t. I wish we could sit down, just like you and me are right now, and talk it out man-to-man. But that’s not going to happen.” 
Na kipindi cha nyuma kidogo drake ameshawah kusema
“I’m not confrontational, but if someone challenges, I’m not going to back down.”
Hii inaonesha wazi kuwa bifu kati yake na brizzy kuna utata katika kulimaliza, na alipo ambiwa afunguke zaidi drake amesema  “Like, it gets really dark.”
Gazeti hilo maarufu linatoka June 25.

No comments:

Post a Comment